Tuesday, November 12, 2013

Notes from the Front Line

Sorry for the delay in posting this past week.  I've been swamped with work, and slightly under the weather as winter has rolled up in a hurry - sniffle, sniffle, cough, cough.
 
At any rate, after another industrious and fulfilling work week, this entry is going to be devoted to the fruit of someone else's labor as opposed to me blabbing about all my affairs.  I received an email from Vumi the other day that just made my heart sing, so I thought I would share it with everyone.  See both the Swahili original and English translation below* - Boo!
 
 
Mambo poa mwl.  Kuhusu Emmanuel ameingia kwenye mradi ameanza kujifunza na anaendelea vizuri labda atasoma kwa muda mchache na ataendelea na tuition na Temba na mzazi ametumiwa barua na akifika atajaza hojaji.  Kuhusu Joseph na Hussein bado nawatafuta wazazi pia nawasiliana na Brenda aweze kunipa wiki nyingine kwa wao.  Naamini nitafanikisha hilo.  Sina wasiwasi nao kwa sababu wanaendelea vizuri na kipindi changu.  Kuhusu Abedi  alienda Gabriella na anaendelea vizuri sana na Brenda amesema anaweza kubaki Msaranga hata mimi nakubali.  Ukweli ni kwamba watoto wanaendelea vizuri ukirudi TZ utawaona wamebadilika sana karibu wanafunzi wote wa mradi wanajua kusoma shida kubwa ni Willbard, Agatha, na Erasto ndio bado wana matatizo makubwa.  Matokeo ya Adam, asome kidogo na mradi badaae aendelee na Mshiu kwa tuition, tayari nimeanza kumfundisha na anaendelea vizuri.  Nakutakia kazi njema.  Erasto amevunjika mkono tangu ijumaa hivyo hawezi kufika shule.
 
####
 
Things are good, teacher.  About Emmanuel, he has entered the program, he has begun to learn and continues well, maybe he will read after a little while and will continue to tuition with Temba.  His parents have been sent a letter and upon arrival will fill out a questionnaire.  Regarding Joseph and Hussein, I am still looking for their parents, also communicating with Brenda if she can give me another week of therapy for them.  I promise to achieve this.  I am not worried about them because they continue well with my lessons.  Regarding Abedi, he went to the Gabriella Center and continues very well and Brenda has said he may remain in Msaranga and even I agree.  The truth is that the children continue well and when you return to Tanzania, you will see they have changed a lot.  Almost all the students in the program know how to read, the only big problems are Willbard, Agatha, and Erasto and it's true that they still have big struggles.  The results of Adam's assessment are that he should study a little in the program and later he can continue to tuition with Mshiu.  Already I have started to teach him and he is doing well.  I wish you good work.  Erasto has broken his arm and since Friday, he cannot come to school.
 
*Names of students have been changed to protect their privacy.

2 comments:

  1. Good work, raising children to the top..................

    ReplyDelete
  2. Good your make the world to be the better place for the children.........congr......Toa Nafasi

    ReplyDelete