Wednesday, January 9, 2013

Jaribio

Nimeamua kuandika blog entry hii kwenye Kiswahili badala ya Kiingereza kwa hiyo….itakuwa entry fupi!
Nimefika salama Tanzania baada ya kukwama Amsterdam kwa masaa 24.  Kulikuwa na shida na ndege na kulikuwa hakuna ndege nyingine kwa hiyo lazima tubaki Amsterdam siku moja.  Nikakaa usiku hotelini nikarudi kituo cha ndege asubuhi.  Mara hii kila kitu kulikuwa poa na tulikuwa njiani Kilimanjaro.  Nikaangalia filamu tatu na episode chache za tv shows alafu tukafika KIA saa 5:35 usiku.
Baba Ngowi na mtoto wake Ema wakanipeleka nyumbani Maji ya Chai si mbali kutoka KIA.  Lakini niliogopa kusafiri na gari imechelewa sana na hakuna taa barabarani na siku hizi nadhani Tanzania imekuwa hatari kuliko zamani.  Nimesikia habari za watu walioibiwa vibaya au hata walioua.  Baba akaniambia hakuna shida kwa sababu akaleta bunduki yake ijapo akakaribisha hatari wakati akasimama gari kuchimba dawa!  Nikamwomba kusubiri tufike nyumbani kwangu lakini nadhani hakuweza kungoja….  Ningalisemaje?  Mara nyingi nimesikia hivyo….!
Siku iliyofuata nikateseka sana ya uchovu sikuweza kwenda Moshi kwa New Year’s kama nimechopanga.  Ilikuwa haiwezekani kabisa.  Afadhali nikabaki nyumbani kuangalia “Real Housewives of Beverly Hills” kwenye laptop na kula cheese na kunywa mvinyo nimezonunua Schiphol Airport Amsterdam.  Ilikuwa uamuzi safi kabisa na nikasherekea mwaka mpya na starehe.
Tangu siku ile majukumu yamekuwa mengi na nimekuwa busy sana na kuweka mambo safi nyumbani na kujizoea tena Tanzania bado natamani kwenda Moshi wikiendi.  Nitakutana na Baba alafu labda kupita Glacier kwa bia moja (au mbili….)  Nitarudi Maji ya Chai Jumapili na kukaa wiki ijayo Arusha.  Blog entry itayofuata itakuwa kwenye Kiingereza kama kawaida.  Hii hapa ni jaribio tu ili nione kama bado naweza kutunga sentensi ya Kiswahili.
Sasa, nihukumiwe.  Naomba kwamba Waswahili wanaosoma hii post, tafadhali nisahihishe makosa nimechofanya.

2 comments:

  1. Sarah, mtu wangu-- safi kabisa. Uko mbele ya 'majaribio' ya sentensi. Unmetunga makala vizuri kabisa! Naweza kusahihisha kidogo tu, (mara nyingi napata msaada wa boss/mume/mkuu/ kifaru... wangu kwenye masahahisho...mwenyewe lazima niwe na makosa kadha pia.

    Neno la mwisho "nimechofanya" na kati kati umeandika "nimechopanga" ningebadilisha kusema "niliyofanya" na " "nilivyopanga". Mara nyingi tense ya hiyo construction ni "li" au "na", sio "me".

    Pia "vyo" au "yo" hutumika sana, ila inaendana na ngeli kabla ya neno lenyewe. Kwa hiyo "nisahihishe MAkosa niliYofanya. / niletee KITI uliCHOsafisha.

    wako,

    Anna

    ReplyDelete
    Replies
    1. Asante sana, Anna! Napenda kusahihishwa na watu ambao wanajua kiswahili sanifu kwa sababu siku hizi nataka nisiwe mvivu kuongea. Vilevile ninatarajia kurudi kijijini itabidi niboreshe kiswahili changu ili niwasiliane na wenyeji. Mungu akipenda nitashinda!

      Delete